WANAFUNZI CHUO KIKUU CHA TUMAINI WAMALIZA MITIHANI
wanafunzi wa chuo kikuu cha tumaini katika fakati mbali mbali za mawasiliano ya umma, information management katika kampusi ya mikocheni jijini dar es salaam wamemaliza leo miatini yao ya kumaliza msemista ya kwanza,ambapo watafunga chuo kwa takribani mwenzi mmoja.
wakiongea kwa nyakati tofauti kuhusu kumalizika kwa mitiani hiyo hususani wanafunzi wa mwaka wa tatu wamesema kuwa utakuwa wakati mwafaka kwa wao kumariza research zao kwa wakati kwani kwa wakati walikizo watakuwa na mda mzuri wa kumaliza hizo research tofauti na kipindi ambacho walikuwa na vipindi darasani kwani mara nyingi walikuwa bize na masomo ya darasani
Wednesday, February 1, 2012
Wednesday, January 11, 2012
WALIOFISADI FEDHA ZA TUSODARCO WAWAJIBISHWE
Wamesema kwakuwa ufisadi nikitendo ambacho si cha kiungwana na wala si cha heshima na kinarudisha maendeleo nyuma hivyo basi viongozi wote ambao kamti teule iliyoteuliwa kuchunguza sakata hilo la ufisadi ambayo imebaini ubadhilifu wa fedha inabidi wajiuzuru ikiewemo rais wa serikali hiyo,pia fedha ziludishwe kwenye serikali
Hivi karibuni kamati hiyo ambayo iliteuliwa na bunge la wanafunzi baada ya uchunguzi waligundua ubadhilifu wa fedha za wanafunzi zilizo ntumika katika sherehe za kuwakaribisha mwaka wa kwanza chuoni kuwa zaidi ya milioni mbili zimetumika sivyo ndivyo nakuacha hali ya sinto fahamu kwani hazijulikani fedha hizo zilivyotumika amnbapo katika tuhuma hizo waziri wa michezo suleimani adam alijiuzuru.
agnesshija@yahoo.com
VYOO TUMAINI VYAWA KERO KWA WANAFUNZI
Vyoo katika chuo kikuuu cha tumaini maeneo ya mikocheni vimekuwa kero kubwa kwa wana funzi wanaosoma katika chuo hicho,wakizungumza kwa nyakati tofauti wabafunzi hao wamesema vyoo hivyo vimekuwa vikitoa harufu mbaya ambayo inaingia madarasani na kusababisha wanafunzi kupunguza usikivu kwa walimu wanapokuwa madarasani.
Vyoo hivyo mbali na kutoa harufu mbaya pia vipo katika mazingira ya usafi ambayo hairidhishi
kwani ni vichafu na hakuna maji kwa ajili ya kutumia chooni hivyo kusababisha kuwa katika hali mbaya ya hiyo ya uchafu.
Wakizungumzia kuhusu tatizo hilo wafanyakazi wanaofanya usafi katika chuo hicho wamesema hali hiyo ambayo ni ya muda mrefu sasa inasababishwa na tatizo la la upungufu wa maji uliopo chuoni hapo .
agnesshija2005@yahoo.com
Subscribe to:
Posts (Atom)