Wamesema kwakuwa ufisadi nikitendo ambacho si cha kiungwana na wala si cha heshima na kinarudisha maendeleo nyuma hivyo basi viongozi wote ambao kamti teule iliyoteuliwa kuchunguza sakata hilo la ufisadi ambayo imebaini ubadhilifu wa fedha inabidi wajiuzuru ikiewemo rais wa serikali hiyo,pia fedha ziludishwe kwenye serikali
Hivi karibuni kamati hiyo ambayo iliteuliwa na bunge la wanafunzi baada ya uchunguzi waligundua ubadhilifu wa fedha za wanafunzi zilizo ntumika katika sherehe za kuwakaribisha mwaka wa kwanza chuoni kuwa zaidi ya milioni mbili zimetumika sivyo ndivyo nakuacha hali ya sinto fahamu kwani hazijulikani fedha hizo zilivyotumika amnbapo katika tuhuma hizo waziri wa michezo suleimani adam alijiuzuru.
agnesshija@yahoo.com
No comments:
Post a Comment